Katika kuipunguzia Serikali mzigo wa madeni, Rais Samia Suluhu Hassan ameyataka mashirika ya umma na taasisi kutoendelea kutumia mgongo wa Serikali kukopa; badala yake, yaombe mikopo na kujiendesha kwa kutumia uwezo wao wa kifedha.
#AzamTVUpdates
✍Juliana James
Mhariri John Mbalamwezi