“….eneo hili limetuandama… vifo ni vingi sana barabarani…” – Rais Samia Suluhu Hassan akitaja takwimu za ongezeko la ajali za barabarani, huku akiwasihi wahitimu wa kozi ya maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi kutumia weledi na elimu waliyoipata kupunguza ajali.
#AzamTVUpdates
✍Jairo Mtitu
Mhariri | John Mbalamwezi