Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Urusi na Ukraine zimebadilishana wafungwa wa kivita ikiwa ni pamoja na walio chini ya miaka 25 pamoja na waliopata majeraha makubwa vitani / Kiongozi wa upinzani wa mrengo wa kushoto wa Israel Yair Golan ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa vita vya Gaza
Geita. Askofu wa Jimbo Katoliki Geita, Dk Flavian Kassala ameitaka Serikali kuziangalia na kuzitatua changamoto zinazowakabili watoto wenye ulemavu zinazowafanya…