06.06.2025

DIRA.BZ6 Juni 2025

Wadau katika suala zima la kudhibiti kifua kikuu katika mataifa mbalimbali duniani wamo katika mashaka makubwa, kufuatia hatua ya ghafla ya Rais Donald Trump wa Marekani kusitisha ufadhili kwa shughuli za afya kupitia shirika la USAID+++Baraza linaloshughulikia masuala ya wakimbizi la Norway NRC limetoa ripoti inayosema, Cameroon iko katika mgogoro mkubwa wa kibinadamu uliopuuzwa

https://p.dw.com/p/4vVks

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *