Mwanafunzi kutoka Togo asota gerezani Ukraine

4 Juni 2025

Akiwa amevutiwa na ahadi za maisha bora ya baadaye nchini Urusi, mwanafunzi kutoka Togo Dosseh badala yake alijikuta katika uwanja wa vita – akiwa amepigwa risasi, kufungwa gerezani na kusahaulika. Sasa, familia yake na mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu yanapigania uhuru wake.

https://p.dw.com/p/4vPQS

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *