Zelensky: Mazungumzo na wajumbe wa sasa Uturuki sio sahihi

Katika mkutano wa waandishi wa habari mjini Kyiv, Zelensky amesema wako tayari kwa mkutano wa aina hiyo siku yoyote, na akongeza kuwa anapendekeza usitishaji mapigano ufanyike kabla ya mkutano wowote wa aina hiyo, ambao pia utamhusisha Rais wa Uturuki Recep Tayip Erdogan.

Kremlin inasema si wakati sahihi kwa mkutano wa kilele wa Putin-Trump-Zelensky

Zelensky ameongeza kuwa kuendelea na mikutano hiyo ya kidiplomasia mjini Istanbul katika kiwango ambacho hakitatui suala lolote zaidi ni kupoteza wakati, hii akimaanisha ubadilishanaji wa wafungwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *