Balozi wa Iran: Tehran yataka kulaaniwa mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Syria

Balozi wa Iran: Tehran yataka kulaaniwa mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Syria

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir-Saeed Iravani amesisitiza kuwa, kuendelea mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria na kuikalia kwa mabavu Miinuko ya Golan ya Syria na utawala huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *