Umoja wa Ulaya kutazama upya mkataba wa ushirikiano wake na Israel

Umoja wa Ulaya kutazama upya mkataba wa ushirikiano wake na Israel

Kufuatia kushadidi jinai za utawala wa kibaguzi wa Israel huko Gaza na kuibuliwa mzozo wa kibinadamu usio na mfano wake katika ukanda huo unaozingirwa, Umoja wa Ulaya umeanza kufanyia marekebisho makubwa mapatano ya biashara na ushirikiano kati yake na Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *