WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana Alkhamisi lilionya kwamba, wakimbizi nchini Kenya wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa huku uhaba mkubwa wa fedha ukilazimisha shirika hilo kupunguza msaada wa chakula hadi viwango vya chini zaidi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *