Umoja wa Mataifa waonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Sudan

Umoja wa Mataifa waonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Sudan

Umoja wa Mataifa jana Alkhamisi ulionya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayozidi kuwa kali katika nchi ya Sudan iliyoharibiwa vibaya na vita vya uchu wa madaraka baina ya majenerali wa kijeshi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *