Waziri Mkuu wa zamani wa Chad aendelea kushikiliwa korokoroni

Waziri Mkuu wa zamani wa Chad aendelea kushikiliwa korokoroni

Mahakama moja nchini Chad imeamuru kurejeshwa rumande na kuendelea kushikiliwa korokoroni, Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Succès Masra.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *