Ramaphosa amfumba mdomo Donald Trump

Ramaphosa amfumba mdomo Donald Trump

Rais wa Afrika Kusini, ambaye alikuwa mgeni wa rais wa Marekani katika Ikulu ya White House amejibu shutuma kali za Trump dhidi ya serikali ya Afrika Kusini kwa kumpa majibu mazito yaliyomfumba mdomo rais huyo mwenye kiburi wa Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *