Awamu ya tano ya mazungumzo ya Iran na Marekani kufanyika kesho Ijumaa

Awamu ya tano ya mazungumzo ya Iran na Marekani kufanyika kesho Ijumaa

Esmail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani itafanyika kesho Ijumaa nchini Italia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *