Bunge: Iran haitakubali kuachia haki yake ya nyuklia

Bunge: Iran haitakubali kuachia haki yake ya nyuklia

Wabunge wa Iran wameendelea kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitasalimu amri juu ya haki yake ya nyuklia chini ya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), hususan haki yake ya kurutubisha urani, huku wakikataa matakwa ya Marekani yaliyowasilishwa kupitia mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *