Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa Jimbo la Khartoum limekombolewa kikamilifu na kwamba wapiganaji wote wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) wamefukuzwa mjini humo. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Khartoum imekuwa bila ya wanamgambo wa RSF kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka miwili.
Related Posts

Ukraine na Urusi zalaumiana kuhusu moto katika kituo cha nyuklia
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Wanadiplomasia wakuu wa mataifa ya Kiislamu wanalaumu mauaji ya mkuu wa Hamas kwa Israeli
Wanadiplomasia wakuu wa mataifa ya Kiislamu wanalaumu mauaji ya mkuu wa Hamas kwa IsraeliBaraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje…
Wanadiplomasia wakuu wa mataifa ya Kiislamu wanalaumu mauaji ya mkuu wa Hamas kwa IsraeliBaraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje…
Wafungwa Waislamu ‘wanalengwa’ na kukandamizwa nchini UK
Shirika moja la kupigania haki za kijamii limefichua kwamba, wafungwa Waislamu nchini Uingereza wananyanyaswa na kuwekewa mbinyo, ikiwa ni pamoja…
Shirika moja la kupigania haki za kijamii limefichua kwamba, wafungwa Waislamu nchini Uingereza wananyanyaswa na kuwekewa mbinyo, ikiwa ni pamoja…