Jeshi la Sudan latangaza kuukomboa kikamilifu mji wa Khartoum

Jeshi la Sudan latangaza kuukomboa kikamilifu mji wa Khartoum

Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa Jimbo la Khartoum limekombolewa kikamilifu na kwamba wapiganaji wote wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) wamefukuzwa mjini humo. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Khartoum imekuwa bila ya wanamgambo wa RSF kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka miwili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *