Iran yataka maendeleo ya Akili Mnemba katika nchi za Kiislamu

Iran yataka maendeleo ya Akili Mnemba katika nchi za Kiislamu

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad-Reza Aref, ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuwekeza na kuendeleza Akili Mnemba (AI) kwa kuzingatia kanuni kuu tatu za ushirikiano wa pande kadhaa, mshikamano wa kisayansi, na miundombinu ya pamoja.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *