Jenerali: Maadui watalipa gharama isiyoweza kuelezeka wakihujumu Iran

Jenerali: Maadui watalipa gharama isiyoweza kuelezeka wakihujumu Iran

Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Mohammad Hossein Bagheri, ameonya kuwa hatua yoyote ya uadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, ikiwemo ukiukaji wa anga ya taifa, itawaletea maadui gharama kubwa isiyoweza kufidiwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *