Misri yarejesha nyumbani mabaki 21 ya kale yaliyoibwa na kupelekwa Australia

Misri yarejesha nyumbani mabaki 21 ya kale yaliyoibwa na kupelekwa Australia

Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kwamba, nchi hiyo imefanikiwa kurejesha nyumba, mabaki 21 yenye thamani kubwa ya mabaki ya kali yaliyokuwa yameibwa nchini humo na kupelekwa Australia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *