Yemen yayaonya mashirika ya ndege ya kimataifa kuhusu safari za kuelekea Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion wa Israel

Afisa wa ngazi ya juu wa Yemen ameyatahadharisha mashirika ya ndege ya kimataifa juu ya kuanza tena safari za kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) huku operesheni za kulipiza kisasi za nchi hiyo ya Kiarabu zikiendelea.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *