China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Israel

China imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri kwenda katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni na kupachikwa jina bandia la Israel kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *