Ethiopia yataka matumizi mazuri ya AI kwa ajili ya maendeleo Afrika

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametoa mwito kwa nchi za Afrika kufanya jitihada za pamoja za kutumia vizuri Akili Mnemba (AI) nyumbani ili kutia nguvu ustawi na maendeleo ya bara hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *