Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran unafanyika kwa kuwashirikisha takriban wageni 200 kutoka nchi 53 duniani. Mkutano huo umefunguliwa rasmi mapema leo katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Mambo ya Nje, Abbas Araqchi.
Related Posts
Iran yasisitizia kuharakishwa utekelezaji wa makubaliano kati yake na Qatar
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kutilia mkazo…
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kutilia mkazo…
Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi
Ofisi ya Bajeti ya Bunge la Marekani (CBO), taasisi ya shirikisho isiyoegemea upande wowote, imetangaza kwamba ikiwa Marekani inataka kuendelea…
Ofisi ya Bajeti ya Bunge la Marekani (CBO), taasisi ya shirikisho isiyoegemea upande wowote, imetangaza kwamba ikiwa Marekani inataka kuendelea…
Maelefu waandamana Marekani kumpinga Trump
Maelfu ya watu waliingia mitaani kote Marekani siku ya Jumamosi kupinga hatua zilizochukuliwa hivi majuzi na Rais Donald Trump. Post…
Maelfu ya watu waliingia mitaani kote Marekani siku ya Jumamosi kupinga hatua zilizochukuliwa hivi majuzi na Rais Donald Trump. Post…