Guterres: Kuwafukuza watu wa Gaza ni jambo lisilokubalika

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, sambamba na kupinga kuhamishwa kwa watu wa Ukanda wa Gaza, amesema kuwa, adhabu ya pamoja dhidi ya watu wa Palestina ni kitu ambacho katu hakihalalishiki.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *