Waziri Mkuu wa Ethiopia atoa wito kwa Afrika kuendeleza Akili Mnemba ya ndani

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuunganisha nguvu katika kuendeleza teknolojia ya Akili Mnemba (AI) ya ndani, ili kuchochea utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya bara.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *