Je, ulinzi wa anga wa Yemen unaweza kuwa tishio kwa ndege za F-35 za Marekani?

Marekani ilianzisha mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Yemen Machi 15, mwaka huu, ambayo ilikuwa operesheni muhimu zaidi ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie tena madarakani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *