Pezeshkian: Iran inafanya mazungumzo, lakini haigopi vitisho vyovyote

Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran haitasalimu amri na kuachana na haki zake licha ya vitisho, akieleza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaachana na mafanikio yake ya heshima katika nyanja yoyote ile, iwe kisayansi au kijeshi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *