Angola imempa hifadhi Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo aliyefukuzwa madarakani

Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo na familia yake wameachiwa kutoka kizuizi cha nyumbani na kuhamishiwa Angola. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Ijumaa na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Joao Lourenco.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *