Azma ya Iran na nchi tatu za Ulaya kuhusu kutumia diplomasia ya nyuklia

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na mataifa matatu ya Ulaya ambayo Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani (yanayojulikana kama E3), wameazimia kutumia ipasavyo njia za kidiplomasia kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *