Umeme wakatika kikamilifu Khartoum kutokana na mashambulizi ya droni za RSF

Shirika la Umeme la Sudan alisema kuwa, vituo viwili vya kuzalisha umeme vimeshambliwa kwa droni (ndege zisizo na rubani) za Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na kusababisha kuwaka moto na kukatika umeme katika mji mkuu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *