Sasa hata Ufaransa yalaani jinai za kutisha za Israel

Jinai za Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni kubwa kiasi kwamba hata dola la kikoloni la Ufaransa ambalo ni moja ya waungaji mkono wakubwa wa Israel limeshindwa kuvumilia na limelaani jinai hizo likitaka kukomeshwa haraka na Netanyahu wawajibishwe na jamii ya kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *