Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema: “Katika hali ambayo Israel inafanya mauaji ya kutisha zaidi kwa niaba ya Marekani, inazikalia kwa mabavu nchi za Kiislamu, na kukanyaga haki ya kujitawala kitaifa Lebanon, Syria na Yemen, rais wa Marekani anadai kiuongo kuwa eti Iran ndiyo tishio kwa usalama wa eneo, wakati ni Marekani ndiye tishio.”
Related Posts

Jeshi la Israel limeripoti kuwaua wanachama wawili wa ngazi za juu wa Hamas katika Ukingo wa Magharibi
Jeshi la Israel limeripoti kuwaua wanachama wawili wa ngazi za juu wa Hamas katika Ukingo wa Magharibi Huduma ya vyombo…
Jeshi la Israel limeripoti kuwaua wanachama wawili wa ngazi za juu wa Hamas katika Ukingo wa Magharibi Huduma ya vyombo…
Rais Pezeshkian: Iran haiko vitani na nchi yoyote
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa…
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa…

Ukraine imetumia silaha za kemikali katika Mkoa wa Kursk – gavana
Ukraine imetumia silaha za kemikali katika Mkoa wa Kursk – gavanaWatu kadhaa wamepewa sumu baada ya kuchomwa na makombora yenye…
Ukraine imetumia silaha za kemikali katika Mkoa wa Kursk – gavanaWatu kadhaa wamepewa sumu baada ya kuchomwa na makombora yenye…