NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi

Imefichuka kuwa, nchi nyingi duniani zimeanzisha uchunguzi wa rushwa katika mfumo wa ununuzi wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) linaloongozwa na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *