Rais wa zamani wa Mauritania aongezewa kifungo, sasa ni miaka 15 jela

Mahakama ya rufaa ya Mauritania imemhukumu rais wa zamani wa nchi hiyo, Mohamed Ould Abdel Aziz kifungo cha miaka 15 jela kwa tuhuma za ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka na utakatishaji fedha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *