Iran yahimiza kukomeshwa ghasia katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

Iran imeelezea wasiwasi wake kuhusu mapigano makali yanayoendelea kati ya makundi yenye silaha katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ikitaka kusitishwa mara moja ghasia na umwagaji damu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *