Ufaransa na Uhispania zajadili kuiwekea vikwazo Israel kwa jinai zake Gaza

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Waziri Mkuu wa Uhispania wamezungumzia haja ya kuiwekea vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutokana na kuendesha vita vya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *