Goma: Mamia ya watu wakamatwa na M23 katika uvamizi uliozua utata

Vuguvugu la AFC/M23 Katika mji wa Goma na vitongoji vyake, limekuwa likifanya uvamizi na na kuwakamata kwa siku kadhaa likidai kuwa watu hao wanahusika na mauaji, uporaji na utekaji nyara.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *