Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia umuhimu wa Umoja wa Mabunge ya Kiislamu kwa ajili ya kustawisha uhusiano kati ya nchi za Kiislamu na kusema: Kushiriki nchi 38 za Kiislamu katika mkutano wa 19 wa Mabunge ya Kiislamu ni fursa ya kuendeleza uhusiano kati ya nchi hizo.
Related Posts
The Guardian: Magereza ya Ugiriki yamejaa wakimbizi wa Sudan
Gazeti la The Guardian limeripoti kuwa mamlaka za Ugiriki zinawashikilia mamia ya wahamiaji hususan kutoka Afrika chini ya sheria kali…
Gazeti la The Guardian limeripoti kuwa mamlaka za Ugiriki zinawashikilia mamia ya wahamiaji hususan kutoka Afrika chini ya sheria kali…
Mlipuko wa jengo la ghorofa magharibi mwa Moscow waua mtu mmoja
Mlipuko wa jengo la ghorofa magharibi mwa Moscow waua mtu mmojaKulingana na jamaa za mwathiriwa, hapo awali alionyesha mwelekeo wa…
Mlipuko wa jengo la ghorofa magharibi mwa Moscow waua mtu mmojaKulingana na jamaa za mwathiriwa, hapo awali alionyesha mwelekeo wa…
Kremlin: Russia inaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Korea Kaskazini ‘ikiwa italazimu’
Ikulu ya Russia, Kremlin imesema nchi hiyo inaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Korea Kaskazini chini ya makubaliano ya ushirikiano…
Ikulu ya Russia, Kremlin imesema nchi hiyo inaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Korea Kaskazini chini ya makubaliano ya ushirikiano…