Qalibaf: Umoja wa Mabunge ya Asia ni fursa ya kuendeleza uhusiano na nchi za Kiislamu

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia umuhimu wa Umoja wa Mabunge ya Kiislamu kwa ajili ya kustawisha uhusiano kati ya nchi za Kiislamu na kusema: Kushiriki nchi 38 za Kiislamu katika mkutano wa 19 wa Mabunge ya Kiislamu ni fursa ya kuendeleza uhusiano kati ya nchi hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *