Ripoti ya Umoja wa Mataifa: 84,000 wameathiriwa wa mafuriko Somalia

Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa jana Jumanne imefichua kuwa zaidi ya watu 84,000 nchini Somaliawameathiriwa na mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya takriban watu 17 tangu katikati ya mwezi uliopita.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *