Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin

Steve Witkoff, Mjumbe maalumu wa Rais wa Marekani, Donald Trump amesema utatuzi wa amani wa mzozo wa Ukraine hauwezekani bila idhini na ridhaa ya Rais wa Russia, Vladimir Putin.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *