Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran wafunguliwa mjini Mashhad

Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran, ulioandaliwa na Jumuiya ya Nyuklia ya Iran na kuungwa mkono na Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI), umefunguliwa katika mji wa Mashhad, uliopo kaskazini-mashariki mwa Iran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *