Ripoti: Matajiri dunia wamesababisha theluthi mbili ya mabadiliko ya hali ya hewa

Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature Climate Change umegundua kuwa asilimia 10 ya watu matajiri zaidi duniani wanahusika na theluthi mbili ya ongezeko la joto duniani linalooshuhudiwa tangu mwaka 1990, na athari mbaya uongezeo la mawimbi ya joto na ukame.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *