Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

Kundi la wapiganaji wa Kikurdi (PKK) ambalo limekuwa katika mapigano ya silaha na Uturuki kwa zaidi ya miongo minne, limetangaza kuvunjwa kwake na kumalizika kwa mapambano yake ya silaha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *