Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa imekubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli anayeshikiliwa huko Ghaza, baada ya kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani kuhusu kusitishwa mapigano katika ukanda wa Ghaza uliozingirwa kila upande na Wazayuni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *