Wanafunzi Marekani waanzisha mgomo wa kula kulalamikia njaa iliyosababishwa na Israel huko Gaza

Makundi ya wanafunzi nchini Marekani wameanzisha mgomo wa pamoja wa kususa kula katika kuonyesha mshikamano wao na raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza ambao wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula kutokana na sera za mauaji ya kimbari za Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *