Watu 33 wauawa katika mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya RSF nchini Sudan

Takriban watu 33 wameuawa nchini Sudan katika mashambulio yanayoshukiwa kufanywa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huku vita vya kikatili vya miaka miwili vya uchu wa madaraka baina ya majenerali wa kijeshi vikiendelea kuchukuka roho za watu na kuinakamisha Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *