India na Pakistan zashutumiana kuvunja makubaliano ya usitishaji vita

Licha ya madai ya kuheshimu makubaliano ya kusitisha vita kati ya Pakistan na India, lakini kila upande umekuwa ukiushutumu upande wa pili kuwa hauheshimu makubaliano hayo saa chache tu baada ya kufikiwa kwake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *