Foreign Affairs: Dola bilioni 2 za Marekani zimeshindwa kuipigisha magoti Yemen

Jarida la makala za uchaguzi la Foreign Affairs limesisitiza kuwa licha ya rais wa Marekani, Donald Trump kudai kuwa Ansarullah ya Yemen imesalimu amri, lakini harakati hiyo haijaathiriwa na mashambulizi ya Marekani yaliyoitia hasara ya dola bilioni mbili nchi hiyo, na wanamapambano wa Yemen wanaendelea na mashambulizi yao dhidi ya Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *