Jinamizi la kukwama safari za ndege laendelea kuitesa Israel

Mashambulizi ya Jeshi la Yemen dhidi ya viwanja vya ndege vya utawala wa Kizayuni hususan Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion wa Tel Aviv yanaendelea kuisababishia jinamizi Israel hususan baada ya Yemen kuapa kuvigeuza Jahannam viwanja hivyo vya utawala wa Kizayuni mpaka ukomeshe jinai zake huko Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *