Utafiti: Lishe za magharibi zinawadhuru Waafrika

Utafiti wa hivi karibuni uliofanyika umebainisha kwa mara ya kwanza kwamba Waafrika wanaokumbatia lishe za Kimagharibi zenye vyakula vilivyosindikwa kwa wingi, sukari na mafuta, wanakabiliwa na kuongezeka kwa uvimbe mwilini (Inflammation), kinga dhaifu, na magonjwa yanayoweza kuzuilika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *