Aragchi: Haikubaliki kuwa na wasiwasi kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Iran huku Israel ikiwa na silaha za nyuklia

Iran imekosoa undumakuwili wa jamii ya kimataifa kuhusu silaha za nyuklia, na kusema “haikubaliki” kwa madola ya Magharibi kudai kuwa na wasiwasi kuhusu mpango wa nishati ya nyuklia wa amani wa Iran huku yakifumbia macho silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *